Luke 23:1-2

Yesu Apelekwa Kwa Pilato

(Mathayo 27:1-14; Marko 15:1-5; Yohana 18:28-38)

1 aKisha umati wote wa watu ukainuka na kumpeleka Yesu kwa Pilato. 2 bNao wakaanza kumshtaki wakisema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu, akiwazuia watu wasilipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo,
Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.
mfalme.”

Copyright information for SwhNEN